Nojoto: Largest Storytelling Platform

Kama kuna dini tamu Basi ni hii ya Kiislamu Kwa sa

Kama kuna dini tamu
Basi ni hii ya Kiislamu
Kwa sababu ya wingi wa nidhamu
Na sifa sizo kiduchu zaidi ya Amu
Muulizeni hata wangu Binamu
Naapa kwa mwili na hata Damu
Na si upendo tuu, ni yangu Hamu
Na kwa imani yangu, si ya Imamu
Imeenea kote Mecca hadi Bumamu
Ibada zetu, zote zafuata hata zamu
Tena mabikra tunao wazuri, watamu
Na akili, wanazo njema na timamu
Utawakuta Kwa Babu hadi Watamu
Na miili ya kuvutia, michongo sanamu
Daima huwakosi, wanakuja kwa awamu
Warembo kweli, hawa wana wa binadamu
Na wanaushirikiano ati, wachezaji wa timu
Na si timu tuu, ya kipekee yani timu adimu
Na upekee ni wa baba yao, wa jina Adamu

|Kiislamu|
 #religion 
#islam 
#motivation 
#lovwithmaquotes 
#love
Kama kuna dini tamu
Basi ni hii ya Kiislamu
Kwa sababu ya wingi wa nidhamu
Na sifa sizo kiduchu zaidi ya Amu
Muulizeni hata wangu Binamu
Naapa kwa mwili na hata Damu
Na si upendo tuu, ni yangu Hamu
Na kwa imani yangu, si ya Imamu
Imeenea kote Mecca hadi Bumamu
Ibada zetu, zote zafuata hata zamu
Tena mabikra tunao wazuri, watamu
Na akili, wanazo njema na timamu
Utawakuta Kwa Babu hadi Watamu
Na miili ya kuvutia, michongo sanamu
Daima huwakosi, wanakuja kwa awamu
Warembo kweli, hawa wana wa binadamu
Na wanaushirikiano ati, wachezaji wa timu
Na si timu tuu, ya kipekee yani timu adimu
Na upekee ni wa baba yao, wa jina Adamu

|Kiislamu|
 #religion 
#islam 
#motivation 
#lovwithmaquotes 
#love
adierpalmer4947

Adier Palmer

New Creator