Huyu wa sasa tumejuana tangu utotoni Ni yule tu niliyekuwa nikimuota ndotoni Na sasa amenigandia kisumaku moyoni Nashangazwa na anavyonifikisha motoni Mpaka najihisi mahututi kufia peponi Napenda anavyoupeleka ulimi shingoni Huku kanidakia mzima mzima mikononi Hataki nisonge, anataka abaki juu kiunoni Ndio anionyeshe aliyofunzwa tu unyagoni Anasema haondoki hadi niyateme shimoni Na kwamba ana njaa, ya kujitia mdomoni Anavyonipeleka na rada nahisi niko chuoni Polepole ninatanda hadi namfia machoni Tena kama randa namsugua hadi kooni Namkata kama panga, ajifichia chooni Anafurahia mpaka anawaita nyote njooni Ila anapojigundua mbele yake hawaoni Asema aniongopea, heri arudi sokoni |Ndoto- ni| #shairi