Find the Best ushairi Shayari, Status, Quotes from top creators only on Nojoto App. Also find trending photos & videos abouttailoring with usha 260, usha rama college of engineering and technology, pt usha information in hindi, pt usha in hindi, pt usha in hindi 1600,
Adier Palmer
Aliniambia anaenda kazini Kumbe si kazi ni kaskazini Huko huko akawa anazini Sikujua ni mbona, bila idhini Nikabaki kuumwa na maini Nililenga ya wahenga hata waadini Hadi akaniletea mandume kisimani Kwa kweli si mtu haswa, ni hayawani Wa kunikodolea macho, bila miwani |Hayawani| #ushairi #love
#ushairi love
read moreAdier Palmer
Ijapokuwa ni vazi, wanawake hawavai vilemba Na hata kama inapendeza, bado hawavai kanzu Hata kunao wengi wasopenda chupi za bambino Nimezaliwa kikamilifu, si nusu kichotara tena ehe Na kama kuku, napenda kula wa afya si mangisi Niliwahi penda vidimu, ila uchachu wake uchungu Na kila uchungu na tamule na kila tamule, tamu Ila mhibu angu, usijigeuze chano watu watakufulia Utamaisi fika simbuko haisimbiki ila kwa msuko Ifanye haramu ya mchwa kuwa bidii yako tena Ili usiishie kuomba kisiki kikukwae upate sababu Na usije kwangu bila haja, aghalabu utanikasirisha Maisha hayana haki kwa wanyonge, wasiojiweza Na tajiri hata na deni, hafai kudaiwa, mkumbushe tuu. |Maisha| #ushairi #life
#ushairi life
read moreAdier Palmer
Beb leo nipe tuu kama umekaza Nipe yote tena juu naona umejaza Usitake simama, juu mi nitakulaza Na venye we hutaste beb, sitapunguza Imekuwa some time now sijakuguza Hata nimerelax tena kwa kkuchunguza We ni wa safe days, nimekuchunguza Although you're thick, taste sitakujuza Nitakugonga kama nimekutandaza Beb, mdogo mdogo tuu nita*ngiza Nd'o isizame deep sana ukisisitiza Juu we ni wangu, iku* sitaunguza Nataka ibaki siri yetu, sije tangaza Juu hii ndo mechi ya kukucharaza But ukilemewa pia, tangazia baraza Nd'o wote wanijue vile mi si dwanzi Warazi wote manze, hata na wakazi Washtuke tuu, midomo ibaki wazi Juu kwangu we si job, we si kazi Na iwe real story, si mambo ya majazi Nadai nikudi*hi beb, kama maandazi Na venye niko ready, bila maandalizi |Calboose| #ushairi #dirtymind
About Nojoto | Team Nojoto | Contact Us
Creator Monetization | Creator Academy | Get Famous & Awards | Leaderboard
Terms & Conditions | Privacy Policy | Purchase & Payment Policy Guidelines | DMCA Policy | Directory | Bug Bounty Program
© NJT Network Private Limited